SIKU YA HARUSI YA WASIWASI MWABULAMBO MTANGAZAJI WA JAHAZI LA CLOUDS FM
Harusi ya Wasiwasi Mwabulambo na Janeth ilifungwa kwenye Kanisa La Kilutheri Boko Dar Es Salaam Na Baadae kwenye tafrija iliyofanyika Mbezi Beach siku ya Jumamosi 22/6/2013.Clouds Media Group intakutakia maisha mema ya ndoa na Mungu awaongeze katika kila jambo..Amen.
Polisi wa Kenya wametoa kibali kabisa kwa tukio kama hili kufanyika ambapo ni utoaji wa tuzo weekend hii kwa watu kadhaa wa jinsia zote...
WHO ARE ONLINE
Blog Archive
TUNAYOHUSIANA NAYO
BLOG HII INA DEAL NA KUWAPASHA HABARI WANAFUNZI WOTE WA VYUO VYA NJE NA NDANI YA MWANZA KUHUSU WAPI PA KUFANYA SHOPPING,KUPUMZIKA WAKATI WA WEEKEND,KUCHILL NA MARAFIKI .
PIA KUTOA RATIBA ZOTE ZA CLUBS ZOTE ZA MJINI HAPA MWANZA NA KUJUZA RATIBA ZOTE ZA MAHOTEL NA EVENTS MBALIMBALI
jiunge na familia hii kubwa
Followers
Blogger news
Blogroll
About
This blog is all about providing the correct information from Tanzania and out side the border of Tanzania,the target group is the university and collages student.
BURNING ISSUE is all about the hottest news thats hits on that time in Tanzania.
0 comments:
Post a Comment