Social Icons

BURUDANI SIKU ZOTE

Sample Text

Thursday, July 11, 2013

FUNDRISING KUFANA LEO HII KATIKA CHUO CHA BUGANDO


Leo hii tarehe 12/07/2013 kuanzia saa 4 asubuhi katika chuo kikuu cha CUHAS BUGANDO kutakua na event ya kufanya fund rising kwa ajili ya ujenzi wa jengo la kisasa litakalo gharim  shiling bilion 1.3 aidha mida ya jion event itamalizikia Gold crest katika ukumbi wa mwalim nyerere.
kwa taarifa kutoka kwa DVC prof mahalu leo hii shughuli za masomo kwa wanafunzi zitasitishwa ili kuwapa fursa watumish na wanafunzi wa CUHAS kushiriki katika hafla hiyo
SISI kama BUGANDO BLOG tutakua katika viwanja vyote vya bugando na mwisho jioni tutakua katika ukumbi wa GOLD CREST kuhakikisha tunakupa kila kitu wewe mwana cuhas
ahsante sana karibu sana MH BENJEMIL WILLIAM MKAPA

0 comments:

Post a Comment


TUPE SHAVU LAKO FACEBOOK

 

Blogger news

Blogroll

About

This blog is all about providing the correct information from Tanzania and out side the border of Tanzania,the target group is the university and collages student. BURNING ISSUE is all about the hottest news thats hits on that time in Tanzania.