HIZI NDIO PICHA MBALIMBALI ZA MUME WA JOYCE KIRIA "HENRY KILEWO" ALIPOPIGWA PINGU JUU YA KESI YA UGAIDI IGUNGA..!!
Bw.Henry Kilewo akiwa na watuhumiwa wenzake wa mashtaka ya Ugaidi yanayowakabili wakati walipofikishwa Mahakama ya Hakimu mkazi mkoani Tabora kwa mara ya kwanza
Wanachama wengine wa Chadema ambao wanahusishwa katika mashataka hayo ya Kigaidi ambapo imedaiwa kuwa watuhumiwa walifanya makosa hayo ya Ugaidi na kumjeruhi Bw.Mussa Tesha ambaye ni mwanachama wa CCM wakati wa kampeni za uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Igunga mnamo tarehe 9/9/2011 katika msitu wa Hanihani huko wilayani Igunga.
Kamanda Henry Kileo akiwa ndani ya gari pamoja na wtuhumiwa wenzake wanne wakisubiri kupelekwa Gereza la Mahabusu hadi watakapoletwa tena Mahakamani hapo mnamo tarehe 8/7/2
According to a Ventures Africa article Mrs Folorusho Alakija is now the richest black woman in the world not media mogul Oprah Winfrey (...
WHO ARE ONLINE
Blog Archive
TUNAYOHUSIANA NAYO
BLOG HII INA DEAL NA KUWAPASHA HABARI WANAFUNZI WOTE WA VYUO VYA NJE NA NDANI YA MWANZA KUHUSU WAPI PA KUFANYA SHOPPING,KUPUMZIKA WAKATI WA WEEKEND,KUCHILL NA MARAFIKI .
PIA KUTOA RATIBA ZOTE ZA CLUBS ZOTE ZA MJINI HAPA MWANZA NA KUJUZA RATIBA ZOTE ZA MAHOTEL NA EVENTS MBALIMBALI
jiunge na familia hii kubwa
Followers
Blogger news
Blogroll
About
This blog is all about providing the correct information from Tanzania and out side the border of Tanzania,the target group is the university and collages student.
BURNING ISSUE is all about the hottest news thats hits on that time in Tanzania.
0 comments:
Post a Comment