
Juzi kati tarehe 12 march 2013 ilikuwa jumanne usiku mtandao wa TMZ ULIRIPOTI KUWA LIL WAYNE ALIPATWA NA KIFAFA HICHO WAKATI AKIFANYA MAANDALIZI YA VIDEO yake mpya.ambapo kesho yake yaani juma tano lil wayne aliruhusiwa na kuendelea vizuri ..hii ikumbukwe kuwa mwaka jana mwezi wa 10 alipatwa na kifafa hicho hicho mara 3 wakati wa safari zakekatika ndege.
0 comments:
Post a Comment