Social Icons

BURUDANI SIKU ZOTE

Sample Text

Thursday, March 14, 2013

STORY KUBWA NI KUHUSU LIL WAYNE KULAZWA HOSPITAL KUTOKANA NA UGONJWA WA KIFAFA KWA MARA NYINGINE

 Juzi kati tarehe 12 march 2013 ilikuwa jumanne usiku mtandao wa TMZ ULIRIPOTI KUWA LIL WAYNE ALIPATWA NA KIFAFA HICHO WAKATI AKIFANYA MAANDALIZI YA VIDEO yake mpya.ambapo kesho yake yaani juma tano lil wayne aliruhusiwa na kuendelea vizuri ..hii ikumbukwe kuwa mwaka jana mwezi wa 10 alipatwa na kifafa hicho hicho mara 3 wakati wa safari zakekatika ndege.

0 comments:

Post a Comment


TUPE SHAVU LAKO FACEBOOK

 

Blogger news

Blogroll

About

This blog is all about providing the correct information from Tanzania and out side the border of Tanzania,the target group is the university and collages student. BURNING ISSUE is all about the hottest news thats hits on that time in Tanzania.