Pichani ni mganga wa kienyeji aliyefahamika kaw jina la RAJABU ZUBERI (30), mkazi wa Kerege, Muheza, Tanga, akiwa chini ya ulinzi wa Wanausalama leo saa mbili asubuhi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, baada kifaa cha upekuzi kumnasa mganga huyo akiwa na vifaa vyake vya uganga ambavyo alikuwa amekuja navyo mahakamani hapo kwa ajili ya kufanyia mambo ya kishirikina katika kesi moja inayomkabili mmoja wa washtakiwa mahakamani hapo.
11 . Giwa Ayoka Sikirat ni bibi mwenye umri wa miaka 53 ambae amekamatwa na kikosi maalum cha kuzuia dawa za k...
WHO ARE ONLINE
Blog Archive
TUNAYOHUSIANA NAYO
BLOG HII INA DEAL NA KUWAPASHA HABARI WANAFUNZI WOTE WA VYUO VYA NJE NA NDANI YA MWANZA KUHUSU WAPI PA KUFANYA SHOPPING,KUPUMZIKA WAKATI WA WEEKEND,KUCHILL NA MARAFIKI .
PIA KUTOA RATIBA ZOTE ZA CLUBS ZOTE ZA MJINI HAPA MWANZA NA KUJUZA RATIBA ZOTE ZA MAHOTEL NA EVENTS MBALIMBALI
jiunge na familia hii kubwa
Followers
Blogger news
Blogroll
About
This blog is all about providing the correct information from Tanzania and out side the border of Tanzania,the target group is the university and collages student.
BURNING ISSUE is all about the hottest news thats hits on that time in Tanzania.
0 comments:
Post a Comment